Wasanii wa Tanzania na China Kufanya Kazi Pamoja

Wasanii wa China kupitia wizara ya utamaduni na utalii imeamua kutoa fursa kwa wasanii wao wa china na pia kutoka tanzania kubadilishana ujuzi wa sanaa wa kufanya kazi pamoja na  kuandaa washa ya siku mbili  iliyoandaliwa na wizara hiyo.

Mkurugenzi wa kituo cha utamaduni wa china Gao Wei  amesema kuwa wanategemea kupitia warsha hiyo wasanii hao watajifunza na kuzalisha kazi zao nyingi na zenye ubora sana  kutokana na kujifunza mambo mablimbali y anchi hizi mbili tofauti.

download latest music    

Ofisa mkuu wa wizara ya habari tanzania pia amefunguka na kusema kuwa kukutana na wasaniii hawa sio tu kutaongeza kkazi za sanaa lakini pia kutaongeza  thamani ya kazi za sanaa.

Bidhaa inapokuwa nzuri basi inaweza kuuzwa sehmu yoyote,kwaio tumieno warsha hiii kujifunza mambo mengi msiyoyajua  kutoka kwa wenzetu wachina  ili kukuza sekta  ya sanaa ya mikono.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.