Wasanii Wakongwe Acheni Kulia Kwenye Media- Wakazi

Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayefanya miondoko ya hip hop Wakazi amewatolea povu zito wasanii wakongwe wanaoenda kulia kwenye media waakiomba wasaidiwe na kazi zao.

Msanii huyo amemwagia povu lake Kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo amewachana wasanii hao wakongwe na kusema kitendo hivho sio kizuri na hakiwezi kukuza muziki huo.

download latest music    

Hamna kitu kinaniboa kama Wasanii wakongwe ambao kila kukicha wanaenda kulia kwenye media ili wapewe support na career zao. Kama nyie mkilia, je Wasanii wachanga (who look up to you) na hawajawahi kutoka wafanyaje?

Kuna Wasanii wachanga wanalilia airplay, alafu na Veteran wa 15 years nae analilia airplay?! Wakati veteran ilitakiwa awe amemuweka the new artist under his/her wing na kumsaidia aweze ku flourish. And maybe y’all can shine together,”

Wakazi amewataka wasanii kuacha kulalamika na kuanza kufanya muziki kibiashara.

Siku za hivi karibuni tumeona wasanii wengi wakongwe wakiibuka na kujaribu kurudi kwenye gemu jambo ambalo limekuwa sio rahisi kwani mambo yamebadilika kwaiyo wamejikuta wakifeli na kusababisha wengi wao kuishia kukata tamaa.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.