Wasanii Wamekimbilia kulima Matikiti na Kuuza Chakula :-JB

kama ambavyo wasanii wengi wamekuwa wakilalamika kuhusu kudumaa kwa bongo movies , na kusema kuwa wasanii wengi wamejikuta wakiingia katika biashara zao nyingine na ndivyo msanii mkubwa wa bongo movies JB amethibitisha hilo .

JB anasema kuwa wasanii wengi kwa sasa hivi wamekuwa wakikimbilia kufanya biashara na shughuli nyingi za kilimo  na uuzaji wa chakula na kuachana na maswala ya chakula.

download latest music    

Kwa kuangalia hilo, wasanii wengi kama shiloleh an wengine wengi wamekuwa wakitangaza kuwa wamekuwa wakikaka kimya muda mrefu ili kufanya shughuli zao nyingine nyingi hasa za kilimo ambapo ndipo walipogundua kuwa kunalipa.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.