Wastara Asema Alishamuona Israel Mara Nyingi.

Msanii wa bongo movies Wastara Juma amekiri na kusema kuwa kwa jinsi ambavyo hali yake ya afya ilivyokuwa mbaya kuna kipindi alikuwa akimuona Israel kabisa mto aroho akitaka kuichukua roho yake lakini mungu alikuwa bado anataka yeye aendelee kuisi  na ndiomaana hata sasa bado yuko hai.

Wastara ambae hivi juzi amereudi kutoka India alipokuwa amekwenda kutibiwa matatioz yake ya mguu na mgongo na kuonekana kuwa na tatizo lingine kwenye kichwa anasema kuwa kwa sasa  hali yake imeimarika na hilo ni jambo la kumshukuru mungu kwa sababu anaamini kuwa mungu bado anampenda sana.

download latest music    

nimeshamuona israel mtoa roho mara nyingi sana kwakweli,lakini kwa sababu mungu ananipenda   ndio maana bado ninapumua na ninaamini kuwa  mungu ataendelea kunipa uhai  kutokana na majaribu mengi na makubwa niliyoyapitia.-Alifunguka wastara alipokuwa anaongea na mwandishi mara baada ya kurudi kutoka katika matibabau yake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.