Wastara Awakana Alikiba na Abdul Kiba

Mwanadada Wastara amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake hajawahi kutamani hata siku moja kutaka  au kutamani kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasani wawili Alikiba au Abdul kiba wasanii ambao pia ni ndugu.

Wastara anasema kuwa hana ukaribu na wasanii hawa wawili kwa sababu  kwa sababu tayari kulishawai kutokea mgogoro kati yao wawili huku wakimtykana sana kwa sababu tu waliwahi kumkuta moja ya  watu wa karibu wa familia ya alikiba akiwa nyumbani kwa wastara na kumzushia mengi.

download latest music    

Sijawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na alikiba au abdul kiba , walikuwa marafiki zangu tu na nilikuja kupoteza moyo wa kuwapost kwa sababu tu  ya timu zao kunitukana sana mitandaoni kwa kitu ambacho wala sikuwa nimekifanya.

Wastara anasema kuwa aliacha urafiki wa wasanii hao wa kimitandao siku nyingi sana ingawa wao bado ni watu wa karibu sana na kila siku mara kwa mara wamekuwa wakiwasiliana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.