WCB Kumiliki Ndege Yao Wenyewe
Bosi wa kundi la Wasafi ameitambulisha ndege yao itakayokuwa ikitumika katika mizunguko yao katika kipindi hiki cha Wasafi festival hasa pale watakapokuwa wamefika Kenya ambapo watafanya show hiyo Desemba 2.
Fununu zinasema kuwa ndege hiyo i enunuliwa na Diamond platinumz huku wengine wakisema kuwa ni ndege imeandaliwa na waandaji wa tamasha hilo huku yeye mwenyewe akikaaaa kimya kutokuzungumzia swala hilo hata kwa mara moja.
katika ukurasa wake diamond aliweka picha hiyo huku akisema baadhi ya maneno yenye kuonyesha kiburi cha kuwa na umiliki halaliwa ndege hiyo.