WCB Kumiliki Ndege Yao Wenyewe

Bosi wa kundi la Wasafi ameitambulisha ndege yao itakayokuwa ikitumika katika mizunguko yao katika kipindi hiki cha Wasafi festival hasa pale watakapokuwa wamefika Kenya ambapo watafanya show hiyo Desemba 2.

Fununu zinasema kuwa ndege hiyo i enunuliwa na Diamond platinumz huku wengine wakisema kuwa ni ndege imeandaliwa na waandaji wa tamasha hilo huku  yeye mwenyewe akikaaaa kimya kutokuzungumzia swala hilo hata kwa mara moja.

download latest music    

katika ukurasa wake diamond aliweka picha hiyo huku akisema baadhi ya maneno yenye kuonyesha kiburi cha kuwa na umiliki halaliwa ndege hiyo.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.