Wellu Sengo Amkingia Kifua Steve Nyerere

Muigizaji wa Bongo movie Wellu Sengo ameibuka na kumkingia kifua Baba Watoto Wake Steve Nyerere kwa kusema haoni tatizo kwa mambo yake anayoyafanya mitandaoni hasa kuropoka juu ya ishu za mastaa wenzake.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa, Wellu alisema kuwa hawezi kupitia kila anachokifanya Steve mitandaoni ila kama kuna kitu anaona kina tatizo, huwa anamshauri.

download latest music    

Sioni sababu na siwezi kupitia kila kitu anachokifanya Steve mtandaoni. Unajua kila mtu ana hulka yake, labda na yeye ndivyo alivyo. Kwa hiyo mimi huwa naangalia vitu muhimu kama anakosea ndiyo tunakaa, tunashauriana“.

Stwvw Nyerere amekuwa akipingwa sana na mashabiki wengi wa Mitandao kutokana na misimamo yake ya kisiasa Lakini pia Hivi karibuni alipatwa na Skendo ya mwaka Baada ya kutoa kauli kuhusu Ommy Dimpoz kuwa hatoweza kuimba tena.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.