Wema Adaiwa Kuvunja Ndoa Ya Irene Baada Ya Kuchepuka na Dogo Janja

Staa wa filamu za Bongo Movie Wema Sepetu amekumbwa na skendo ya mwaka baada ya kudaiwa Kuvunja ndoa ya Msanii mwenzake Irene Uwoya na mume wake Dogo Janja.

Wema Sepetu amejikuta katika wakati mgumu baada ya stori kutoka kwamba yeye na mume wa shoga yake Irene Uwoya ambaye amewahi kukaririwa akimuita shemeji kudaiwa kubanjuka.

download latest music    

Mange Kimambi ameripoti kuwa Wema na Dogo Janja walifanya mapenzi wakati Dogo Janja yupo na Uwoya.

Mange ameweka wazi kuwa alipata taarifa za Wema na Dogo Janja kufanya yao siku chache zilizopita lakini kwa kuwa anampenda Dogo Janja akaamua kumpotezea na hata kumtafuta na kumtaka kuhandle privately.

Lakini baada ya kutibuana na Wema jana Mange aliamua kumwaga ubuyu huo ambapo Mange amedai Wema ndiye alimuomba unyumba Dogo Janja.

 

Baada ya kuweka sakata hilo wazi Uwoya alionekana kumshukuru Mange kwa kumpa taarifa hiyo kwani tayari ndoa yake na Dogo Janja imekuwa  ikionekana kusuasua.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.