Wema Adaiwa Kuzama Ndani Ya Penzi Zito

Muigizaji wa Bongo movie mwanadada Wema Sepetu amedaiwa kuwa ndani ya Penzi Zito na mfanyabiashara Lawrence Masanja maarufu kama ‘R.a.h.u.r’.

Gazeti la Ijumaa wanaripoti kuwa tetesi za uhusiano wa Wema na R.a.h.u.r zilianza kuibuka miezi kadhaa iliyopita kwenye mtandao wa Instagram baada ya Wema kuibuka mshindi wa Muigizaji Bora wa Kike na Chaguo Bora la Watu kupitia tuzo zilizofahamika kama Sinema Zetu International Film Festival (SZIFF).

download latest music    

Ujumbe huo ulisomeka:

People’s choice & Best Actress, Ni category kubwa sana. Hongera kwa ushindi huo, you deserve, i’m proud of you. #Maso.”

Baada ya Ujumbe huo Wema alijibu:

I’m glad i made you proud my love. It won’t stop, I promise you”.

Mapema wiki hii, R.a.h.u.r aliibua gumzo lingine kwa kuonesha picha ya fedha na kuelekeza mashabiki wake kuwa anaelekea Morogoro ambako inaaminika Wema pia atakuwa mkoani humo kwa ajili ya mashindano ya urembo yanayotarajiwa kufanyika wikiendi hii.

R.a.h.u.r

Baada ya Tetesi hizo kupamba moto gazeti hilo lilimsaka R.a.h.u.r ambaye alifunguka:

Kiukweli mimi huwa sipendi media,” alijibu. Alipoendelea kubanwa zaidi, aliingia mitini“.

Lakini Wema naye aliposakwa na gazeti hilo alikana Mahusiano hayo na kudai ni marafiki tu.

Mimi huyo ni mshkaji wangu tu wala hakuna kinachoendelea”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.