Wema Alinifanya Nimjue Iyobo ;-Aunty Ezekiel

Mwanadada Aunty Ezekiel amefunguk na kueleze ajinsi alivyokuta na mzazi mwensie moze iyobo mabae mpaka sasa wapo wote na wamekuwa pamoja katika kujenga familia.

Aunty anasema kuwa katika watu wakiosababisha mahusiano yake na moze kuendelea ni wema sepetu kutokana na ukweli kuwa kama asingekuwa na urafiki na wema na akawa anenda kwa wema bai asingekutana kabisa na Iyobo.

download latest music    

Aunty anasimulia na kusema kuwa alianza kukutana na Moze siku moa alipowenda kumtembelea rafiki yake kipenzi wema ndipo awalipokuata na kubadilishana namba za simu.

miaka kadhaa iliyopita nilikwenda siku moja nyumbani kwa Wema na ndipo nilipokutana na kiana mmoa hivi, yes ndio Iyobo huyo.kwakweli sikujua kama tutakuwa wapenzi lakini tulibadilishana namba za siku na ndipo tulipoanza kuwasiliana.

kipindi icho sikuwa na mahusiano  na moze aliaribu kutupa ndoana na mimi nilikataa si unajua tena wanawake , lakini baadae tulikubaliana na nikapata ujauzito.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.