Wema Ashindwa Kuzuia Hisia Zake kwa Ommy Dimpoz

Mwanadada Wema Sepetu ameshindwa kuzuia hisia zake baada ya msanii Ommy Dimpoz kutoa wimbo mpya ambao umeanz akufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya habari,aliomshirikisha Sayi Shey kutoka Nigeria unaojulikana kwa jina la yanje.

katika ukurasa wake wa instagram wema sepetu aliandika”kimya kingi kina mshindo  nkubwa, ngoma imebabmba hataree.sijui kwa sababu ni aina ya muziki ninayoipenda labda ,, forever bae umamaliza wallahy ..this one is just amazing..

Wema sepetu na ommy dimpoz walishawahi kufanya kazi pamoja na hata habari kusambaa kwamba waliwahi kuwa katika mahusiano ya kimapenzi, uhusiano uliopo kwa sasa kati awema na Diamond pia unaweza kuwashangaza wengi kwanini Wema ameweza kumpongeza wema kwa sababu Ommy na Diamond kidogo mambo hayako sawa.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.