Wema Atoa Shukrani kwa Niaba ya Rc Makonda
Mwanadada wema sepetu amejitokeza katika ukurasa wake wa instagram na kuwashukuru wananchi wote wenye imani na Rc Makonda kwa kufikisha followers million moja katika ukurasa wa kiongozi huyo ambae kwa upande wake anasema kuwa ni moja ya viongozi wanaopendwa sana na watu na ni kiongozi wa kwanza kufikisha idadi hiyo ya wafuasi.
katika ukurasa wake wa instagram, wema sepetu aliandika “ndugu zangu wapendwa napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa kumfikishia follower 1m mr dar es sallam….hongera kakangu kwa kufikisha 1m followers, umebreak record ya viongozi wote wenye flowers wengi ..unakubalika kakangu…wasiokukubali tunajua matatioz yao…ila mi ugomvi siwezagi”
Wema Sepetu na makonda kwa sasa wamekuwa karibu kama kaka na dada ukiachilia mbali sakata la madawa ya kulevya na kesi yake inayoendelea ambayo ni kampeni iliyoanzishwa na Rc huyo.