Wema Augua Ghafla Mahakamani

Mwanadada wema sepetu siku ya leo alitakiwa kusimamam na kujiteta katika kizimba cha mahakama ya kisutu kuhusu ksi yake ya madawa ya kulevya mabavyo inaendelea mahakamanai hapo.wakili wa serikali ameimabia mahakama mbele ya hakimu mkazi thoams simba kuwa wema na wenzake walitakiwa kutokea mahakamani hapo siku ya leo ili kuanza kujitetea kuhusu kesi yao lakini imeshindikana kutokana na mwana dada huyo kuwa mgonjwa.

Mama mzazi wa  Wema Sepetu alifunguka na kuiambia mahakama kuwa wema sepetu alifika mahakamani hapo asubui lakini muda aliokuwa akisubiri kuingia mahakamani alianza kuumwa ghafla  kwa kujisikia vibaya na kuanza kutapika hivyo kushindwa na kuondoka.

download latest music    

Baada ya maelezo hayo , hakimu simba thomas alihairisha kesi hiyo mpaka May 29 na kusema kuwa washtakiwa hao wanapaswa kujianda kwa kujitetea.

Washitakiwa wengine wanaoambatana na wema ni pamoja na matilda abbas pamoja na angelina msigwa mabao walikutwa na kiwango kidogo cha madawa ya kulevya  na mengien kuyatumia.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.