“Wema na Jokate Wameungana Ili Kumshusha Alikiba”-Harmorapa

Msanii wa Bongo fleva  anayefanya miondoko ya kurap Harmorapa amewatolea povu tena warembo wengine ambao ni Wema Sepetu na Jokate Mwegelo  na kudai ni wadangaji na wameungana ili kumshusha Alikiba.

Wiki iliyopita baada ya kutoa albamu yake ya ‘A boy from Tandale’ watu wengi walijitokeza na kumpongeza Diamond kwa hatua aliyofikia na warembo kama Wema na Jokate nao walimpongeza kitendo ambacho inaelekea hakikumfurahisha Harmorapa.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Harmorapa aliwatolea povu zito Wema na Jokate kwa kudai kitendo chao cha kumpongeza Diamond ni kwa nia ya kutaka kumshusha Ali Kiba:

Naona hawa wadada na wadangaji wengine wameungana ili kumshusha King Kiba. Nawachana nyie wadangaji mwenye kupewa uwezo kapewa tu nyie bora mkazane na uwezo weny mliopewa wa kudanga. Mnafikiri mkiposti kazi za Diamond ndio mnuumiza moyo KingKiba? Ndio maana mmchezewa mmeachwa Jojo umechezewa na King Kiba umeachwa kaenda kuoa mtoto chokoleti huko Moombasa eti hasira zako umezihamishia huko kwa Chibu, na liwema nalo limechezewa likaachwa nafasi ikachukuliwa na African beauty Zari aliyelishinda kila kitu kuanzia uzuri m, followers mpaka pesa eti likaanza kumtongoza king kiba ili limkomeshe Mondi, KIng nae akapita nalo akalitema likaona lirudi kumwaribia Zari ndoa yake nalenyewe limeungana kumharibia Alikiba”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.