Wema na Wenzake Wapata Deal Nono Star Time.

Mwanadada Wema Septu na baadhi ya wasanii wenzake kutoka tasnia ya sanaa ya bongo movies na muziki pia wamechaguliwa na star time kuwa mabalozi wa Star Time kwa kutoa elimu na kutangaza michuano ya kombe la dunia itakayo fanyika mwaka huu huko nchini urusi huku star time ikiwa ni moja ya kampuni itakayorusha michuani hiyo kwa lugha ya kiswahili.

Nina washukuru sana star times, kwa kuona fani zenu na ufanisi wetu wakaamini kuwa tunaweza kutumia hii platform kutangaza world cup kupitia star times kwa mwaka huu 2018.natambua ukubwa na uzito wa kazi iliyopo mbele yetu , kwangu hii ni kama kazi nitatumia fursa hii  kama kazi nyingine ninayoifanya kwa kushirikiana na team wema na team zangu zingine kubwa sana kufanikisha kazi hii.

tutafanya kazi ya kuelimisha watu na watazamaji kwa kuwaambia jinsi gani wanaweza kuangalia michuano hii ya kombe la dunia kupitia star time kwa mara ya kwanza kwa lugha ya kiswahili.

Huu ni mwanzo mzuri kwa wasanii hao hasa Wema Sepetu ambae tuzo alizozipata mwaka huu zinaendelea kumfungulia milango ya mafanikio zaidi.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.