Wema Sepetu Aonyesha Hisia Zake Kwa Lazaro Nyalandu


[one_third] Contents [/one_third]Ikiwa ni muda mchache tu umepita tangu mbunge wa Singida Kaskazini kujiuzulu na kuitema ccm, msanii wa filamu nchini Madame Wema Sepetu amefunguka na kuonyesha  hisia zake za furaha kuhusu tukio alilofanya mbunge huyo na kusema kuwa anatamani kuwa kama Nyalandu, lakini pia ameonyesha shukranii zake kwamwenyezi munu na furaha kwa hali nzuri anayoendelea nayo Tundu Lissu

Katika ukurasa wake wa instagram msanii Wema Sepetu  alipost picha ya tundu lissu akiwa hospitali na kuonyesha pia  furaha yake kwa jinsi mbunge wa Singida mashariki Mh. Tundu Lissu anavyoendelea vizuri kwa sasa.

download latest music    

Ni jambo jema kuona shujaa wetu anaendelea vyema,Mungu ni mwema siku zote,lakini pia nikiwa mkubwa nataka kuwa kama Lazaro Nyalandu.Aliandika Wema Sepetu.

Wema Sepetu ni mmoja wa  wasanii wenye ushawishi mkubwa sana Tanzania kupitia mtandao wake wa instaram, hivyo Wema sepetu amekuwa akitumia fursa hiyo ya kupendwa na watu kufanya kampeni zilizowahamasisha watu  na mashabiki wake  kwa ujumla ili kuweza kumchangia mbunge huyo ela za matibabu ili aweze kujikimu na familia yake  kwa kipindi chote ambacho anapokuwa  yupo hospitali.

Wema Sepetu  ni mmoja wa makada na wanachama wa chadema, hivyo kitendo cka kuwa naonyesha ushirikiano katika chama hicho ni moja ya fadhila kwa viongozi wake,kitendo ambacho alikianza muda mrefu cha kuwaomba mashabiki wake na watu wenye kutaka kumchania waendelee kumchania mbune huyo ili aweze kutibiwa na kupona.

Hata hivyo Lazaro Nyalandu ambae amejiuzulu , ameomba nafasi ya kuinia katika chama cha chadema kama kuna nafasi , hii inadhihirisha kuwa yupo tayari kuamia katika chama hicho.Lakini pia ikumbukwe kuwa Mh.Lazaro Nyalandu pia alishawahi kutaka kufanya ufadhili wa matibabu wa Mh. Tundu Lissu ingwa ilishindikana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.