Wema Sepetu Awagarazaga Wasanii Wenzake Wa Bongo movie

Muigizaji wa bongo movie Wema Sepetu amewagaraza vibaya wasanii wenzake wa Bongo movie baada ya kunyakua tuzo mbili katika tuzo za filamu ziitwazo Sinema Zetu Film Awards.

Wema amejinyakulia tuzo hizi kama msanii bora wa kike 2017-2018 kupitia tuzo za Sinema Zetu zilizoandaliwa na Azam TV.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Wema amefunguka haya kuhusiana na tuzi hizo:

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.