Wema Sepetu awazingua wengi na picha mpya, ni kweli ameumbwa akaumbika!

Mrembo wa Tanzania Wema Sepetu amewapa mashabiki wake kitu kipya cha kuongelea baada ya kuachia picha zake mpya kupitia mtandao wake wa instagram.

Picha hizi zimekuja baada ya Wema Sepetu kwenda kimya kwa muda mrefu lakini kulingana na maoni walioacha wafuasi wake inaonekana kuwa bado wanampenda muigizaji huyu.

download latest music    

Ingawa pia hakuwachia picha nyingi kama anayvopenda, Wema Sepetu alihakikisha kuwa mashabiki wake wana sababu ya kuongea mitandaoni.

Tazama picha hizo hapa chini na utoe maoni yako.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua