Wema Sepetu: Kanumba Umebadilisha Maisha Yangu Milele Nitalienzi Jina Lako

Muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu amefunguka mazito katika siku ya kumbukumbu ya marehemu Kanumba ambaye alifariki miaka mitano iliyopita.

Wema alikuwa Kwenye Mahusiano ya kimapenzi na Steven Kanumba mwaka 2007 baada ya kutwaa taji la Miss Tanzania na baada ya hapo Kanumba ndiye aliyemuingiza katika fani ya kuigiza kwenye Bongo movie.

download latest music    

Mara kwa mara Wema ameweka wazi kuwa walipokuwa Kwenye Mahusiano ndipo Kanumba alimshawishi Wema aingie kwenye filamu na kusema aliomshirikisha kipaji chake hata kabla yeye mwenyewe hajaona, Wema na Kanumba walicheza pamoja filamu kadhaa.

Siku ya Jumamosi ilikuwa ni Kanumba Day ambapo ilikuwa ni maadhimisho ya kifo chake na Wema alitumia ukurasa wa Instagram kumkumbuka Kanumba na kutupia picha kadhaa ambapo zilisindikizwa na ujumbe mzito wa kumbukumbu:

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.