Wema Sepetu Yupo Tayari Kushuhudia Ndoa Ya Diamond na Zari

Muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu ameshangaza watu wengi baada ya kufunguka kuwa anatamani a Ex wake Diamond Platnumz na Baby mama wake Zarinah Hassan wafunge Ndoa.

Wema alifunguka hayo baada ya video ya wimbo wa Iyena wa Diamond kutoka siku ya Ijumaa ambapo ndani yake yupo Zari kama video queen ambapo ndani ya video hiyo wanafunga ndoa.

download latest music    

Wema alimtaka Diamond kufanya kweli na kumuoa mama watoto wake huyo ambapo aliandika maneno haya Kupitia ukurasa wake wa Instagram:

New Track Alert Ila kama ingekuwa Pambe ingekuwa Kweli. Just thinking out Loud, Diamond Chibudeeee Fanya kweli bwana. Inshallah mwaka huu hata mwakani. Tuje kucheza Baikoko sie, Rayvanny Kazi nzuri”.

Hili suala limewaacha watu vinywa wazi kidogo k sababu hasa ukiangalia kuwa Zari aliweka wazi kuwa alimtosa Diamond baada ya video kusambaa zilizomuonyesha Diamond na Wema wakikumbatiana Kwenye kumbi za starehe Miezi minne iliyopita.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.