Wolper afunguka kuhusu uhusiano wake na Harmonize, hii ndio maana hawezi muacha!

Harmonize na Wolper wamekuwa pamoja kwa muda sasa na ingiwa wapenzi hawa pia hupitia mashida kama watu wengine, wawili hawa hawana mipango ya kuachana hivi karibuni.

Miezi kadhaa iliyopita wengi waliacha wakijiuliza kilichotokea kati ya hawa wawili na kuachana kwenye mitandaoni hata hivyo hakuna anayejua lakini kwa sasa wamerudiana na wawili hawa wanapanga kuanza maisha yao pamoja.

download latest music    

Hata hivyo Wolper alifunguka kwa mara ya kwanza kudai kuwa hakuna kitu kibaya ambacho Harmonize hashawai kumfanyia. Wolper alidai kuwa  hajuti kuwa na msanii huyu kwa sababu anamuelewa na pia kwa sababu wanapendana.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua