Wolper Ajiita Bossy Lady, Akataa Kufananishwa na Mwanamke Yoyote Afrika.

Mwanadada Wolper Jackilne amejitangaza kuwa kwa sasa na yeye ni bossy lady ingawa hapo awali hakuwahi kujiita hivyo lakini kwa sasa anweza kujitangaza kama bossy lady.

Akiongea na waandishi kaika birthday party ya Jux, Wolper anasema kuwa kwa sasa ana bwana ambae anamuwekea pesa katika akaunti yake kila siku.

download latest music    

Lakini pia pamoja na ktajiwa baadhi ya wanawake mabao wamekuwa wakijulikana matajiri, wolpr amekataa kufananishwa na  mwanamke yoyote kwa sababu wanawake wenye pesa kwa anavyojua yeye huwa hawajitangazi kabisa kama wana pesa katika mitandao.

mimi zamani nilikuwa sio bossy lady lakini sasa hivi, nina mwanaume ananiwekea pesa katika akaunti yangu kila siku. mimi  ninaweza kujihita kama bosssy lady lakini sipendwi kufananishwa na mwanamke yoyote afrika, sio tanznia maana Tanzania usiniweke kabisa, kwa sababu wanawake wengi wa tanzania wenye pesa huwa hawaongei  wala hawajiweki katika mitandao.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.