Wolper Amedai Kuwa Anapenda Wanaume Wenye Vibamia Kwasababu Ana sehemu Za Siri Ndogo

Muigizaji wa Bongo movie, Jacqueline Wolper ameibuka tena kwenye headlines wikiendi hii baada ya kuweka wazi kuwa anapendelea kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye uume mdogo kwani yeye mwenyewe ni mdogo.

Wolper aliacha watu midomo wazi Ijumaa iliyopita kwenye kipindi cha Friday Night live alipoulizwa kuhusiana na maneno aliyoyaweka kwenye ukurasa wake wa Instagram siku za nyuma kidogo ambapo inadaiwa kuwa alisema kuwa hapendi wanaume wenye vibamia anapenda waliojaliwa lakini siku hiyo alikataa kuandika maneno hayo badala yake alidai kuwa anapendelea vibamia na kusema mwanaume pesa sio mashine kubwa:

download latest music    

Kwenye mahojiano na East Africa Tv kupitia kipindi cha FNL Wolper alifunguka yafuatayo:

Mimi binafsi napendelea mwanaume awe na uume mdogo pia kwa sababu mimi mwenyewe mdogo kwaiyo utaona kabisa siwezi nikapenda vitu vikubwa ambavyo siwezi nikavihimili na kama kuna mwanamke anayekwambia mwanaume mashine huyo ni muongo maana kiukweli mwanaume ni pesa ukishakuwa na pesa hicho kibamia kitapendwa tu na kwa mwanamke aliyepitia mambo mengi maishani atapenda pesa siyo mashine kubwa”.

Mbali na hayo pia Wolper alifunguka kuhusu uhusiano wake na mpenzi wake Brown na kusema kuwa bado wako wote na wanapendana sana lakini pia ameongelea kuhusu biashara zake hasa inayofanya vizuri sana kwa hivi sasa ya duka lake la fashion.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.