Wolper aonyesha sura ya mpenzi wake mpya aliyechukua nafasi ya Harmonize

Kuna dhana kuwa muigizaji wa Bongo Movies Jacqueline Wolper anapenda vijana ambao yeye amewazidi umri, kuna ukweli kwa dhani hii.

Wolper alitengana na Harmonize miezi chache iliyopita, staa huyo wa Wasafi alijinyakulia mpenzi wa kizungu ambaye ameshamtia mimba.

download latest music    

Wolper pia sasa amejinyakulia mpenzi mwengine, muigizaji huyo ameachia picha zikimuonyesha akiwa na kijana ambaye amechukua nafasi ya Harmonize.

Baadhi ya picha ya Wolper na mpenzi wake ambazo ziko kwenye mtandao wa Instagram, kuna picha moja inaonyesha Wolper na huyo kijana aitwaye Brown wakiwa kitandani.

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere