Wolper Atangaza Kuokoka , Wasanii wa Injili Wampongeza.

Mwanadada mjasiriamali nchini Jackline Wolper ametangaza kuwa kwa sasa hivi yeye ameokoka na anampenda sana yesu ingawa watu wamekuwa wakimshambulia kuwa kwanini habadilishi mavazi yake kama kweli yeye ameokoka.

Hata hivyo Jack anatetea maamuzi yake ya kuingia kwenye uokovu huku akisema kuwa swala la kuokoka aliangalii wapi unaenda au nini unafanya au ni unavaa kwa sababu swala la uokovu ni vile wewe mwenyewe unakuwa na imani ngapi kwa Mungu .

download latest music    

Jack anatolea mfano na kusema kuwa mashabiki wao wamekuwa wakiwaandaman sana watu kama hao kama walivyokuwa wakimuandana Muna kipindi ameokoka kutokana na uwepo wa tatoo nyingi mwilini mwake huku wakisema kuwa Muna sio mlokole kabisa.

Jack anasema kuwa watu wengi hasa vihjana wamekuwa wakitamani sana kuokoka lakini wamekuwa wakingalia jisi wanavyoandamwa pale wanapoanza kuslya huku wakiwa wametangaza kuwa wameokoka na kuona kama itakuwa ngumu kwao kuokoka lakini wapo wengi ambao wanak=mionekano ya kimjinimjini na wanataka kuokoka.

Hata hivyo Jack anawashauri watu wengine kukoka huku akiomba kuwa na disco la yesu ambalo wale walitoka katika mambo ya kidunia wasikose kuwa wakifurahia uokovu.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.