Wolper awasihi raia na wasanii wa Bongo movie kumsaidia Jini Kabula anaye Ugua

Image: Wolper Stylish

Jackline Wolper ambaye ni malkia wa bongo movie amejitokeza kuwaomba wasanii wenzake na raia pia kumsaidia Mariam Jolwa anayejulikana kama Jini Kabula aneyeugua ugonjwa wa akili.

download latest music    

Kupitia mtandao wake Wa a Instagram Wolper aliandika kusema;

Natamani niongee mambo mengi sana juu yako lakini natamani ata kukusaidia urudishe akili yako swali ni kwamba nimechelewa??nakama nimewahi je nitafanikiwa kweli. sasa tuzungumze jambo jamani maana siju hizi tarfa tunazipata insta naona nalangu niliongelee insta wanatasnia wenzangu tunamsaidiaje mwenzetu nini kimekuta kipi je nayoyasikia ndio hayo????nakama ndio mbona kuna wataalam wakusena nae naakakaaa sawa. Basi watanzania wenzangu naombeni tuchangie maoni yenu hapa nakama nim2 uwezi toa ushauri hapa basi tuma msg kwakupitia cm hii 0765776776 basi tuweze kumrudisha kabula jamani. naandika msg hii huku nalia namoyo mdogo sana usiweza kuvumilia naumivu nakumbuka nimishawahi kumwambia kabula we nimwanamke mzuri sana bongo movie lkn natamani kujua tatizo nini kacheka tuu akachukua nguo akaondoka sikupata muda wakuzungunza nae ….sasa npo safarini hope kesho au kesho kutwa nikijaliwa tukutane kwaoamoja .. Bongo movie tumfwate alipo jamani tujue tunamsaidiaje nimeona vdio anaongea sjui niamechanganyikiwa masikn me ata nashindwa kuandika jamani ….

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua