Wolper:-Sitaki Kabisa Hela za Kuongwa

Mwanadada msanii wa bongo movies na mjasirimali wolper jackline amefunguka na kusema kuwa kwa maisha ya sasa hivi wanawake wasitegemee sana swala la kuongwa na wanaume kwa sababu hawata kaa kufankiwa kwa sababu maisha yamebadilika na wanaume wamekuwa wagumu sana kutoa hela zao.

Wolper  amewataka wanawake wote kuanza kufanya kazi na kujituma kama alivyoamua yeye kwa sababu hela ya kuongwa na wanaume haitawapeleka kokote.

download latest music    

Wolper anasema kuwa sasa hivi wanaume wameshtukia swala la wanawake kuwa wanawategemea wao hivyo hawatoi hela kama zamani givyo ni bora kuwa na kazi yao inayokuingizia kipata hata kama ni kidogo.

Mambo ya kusubiri hela ya kuongwa nilishafutaga katika akili yangu kwa sasa,ndipo nilipoamua kufanya kazi kwa nguvu zangu mwenyewe maana hela ya kuongwa siitaki kabisa.- Alifunguka Jacky.

Jacky ambae kwa sasa ameamua kuwa mjasiliamal kwa kuanza kufanya biashara ya ushonaji na kujipatia wateja wengi na hata kupata pesa anasema kuwa kamwe hana muda ya kusubiria hela ya kupewa.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.