Wyse Amjibu Ebitoke kuhusu Ben kulelewa na Anerlisa

Msanii anaekuja kwa kuchipukia kwa sasa ambae amekuwa akisapotiwa na Ben pol amemkingia kifua bosi wake na kusema kuwa Ebitoke atakuwa na mapungufu ya akili  baada ya mwanandada huyo kufunguka na kusema kuwa  ben pol analelewa na mwanamke.

Wyse anasema kuwa  kuna watu wamekuwa wakionekana wakiongea vitu kuhusu watu wengine na kuaminika wakati hawajulikana hali zao za kiakili inawezekana wakawa na matatizo ya akili bila kujua.

download latest music    

mimi siamini katika hilo  wanalosema,  atakuwa tu labda aliteleza  na mimi naona kuwa hawa wanaosema watakuwa ni mapunguani  na wanaupungufu wa akili  watu hawamjui wanamuona ona tu  na unaanza kuongea ongea  ila mimi ninajua ben pol anafanya show na watu mnaona kabisa.

Wyse na Ben pol wamekuwa wakifanya kazi pamoja kwa muda sasa na hata katika moja ya nyimbo yake ya BADO KIDOGO ambayo imefanya vizuri.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.