Yasemekana Wema Sepetu Mgonjwa Sana.

Kuna  video inasambaa katika mitandao ya kijamii ikimuonyesha Wema Sepetu akiwa mgonjwa na akiwa maeneo ya hospitali ,habari zinazosambaa zinasema kuwa wema sepetu amelazwa katika hospitali moja wapo huko jijini Dar Es Salaam huku sababu kubwa ikiwa bado haijajulikana kuwa ni nini.

Hivi karibuni kuna habari zilisambaa kuwa mwanadada huyo alikwenda nje ya nchi kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji wa kukata utumbo ili kupunguza mwili.

download latest music    

Taarifa zilizowahi kutolewa na mwanadada Mange Kimambi zinasema kuwa Wema Sepetu aliamua kusafiri na kwenda nje ya nchi kwa ajili ya kupunguza uzito na mwili mkubwa.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.