Yathibitika ,Dyana Nyange ni Mjamzito.

Msanii wa muziki wa bongo fleva Mwanaisha  Said maarufu Dayna Nyange ameonekana kuwa kimya sana kimuziki lakini kumbe sababu kubwa ya kukaa kwake kimya ni kutokana na hali ya uzazi aliyo nayo sasa hivi.dayna nyange inasemekana kuwa ni mjamzito na tumbo lake limeshaanza kuonekana na hali hiyo imekuwa ikimpeleka mputa mputa kiasi kwamba anashindwa kufanya kazi zak vizuri.

Watu wa karibu wa Dayna Nyange wanasema kuwa kwa hali aliyonayo Dayna kwa sasa ni mbaya kwa sababu ujauzito huo umekuwa ukimuendesha sana na amekuwa akijitahidi kujificha ili watu wasijue kuwa yuko nahali hiyo.

download latest music    

si unajua kuwa dayna nyange alipta mpenzi wa kizungu kwaio nadhani sasa wameamua kuzaa,na hataki kabisa kumtaja baba kijacho wake kwa sababu hata sisi marafiki zake  ametuficha.

siku ya wapendanao, Dayna Nyange aliweka moja ya picha yake katika ukurasa wake wa instagram ikimuonyesha akiwa ameshika tumbo linaloonekanakuwa kubwa na yupo katika hali ya ujauzito , hali hiyo iliwafanya mashabiki kumpongeza lakini wengine kuwa na shauku ya kutaka kujua baba kijacho.Alipotafutwa Dayna kuelezea hali yake aliwajibu waandishi wa habari kwa kusema:

sitaki kuzungumzia ujauzito wangu au baba kijacho wangu kwa sababu hayo ni maisha yangu binafsi.

Siku za nyuma, zilisikika tetesi kuwa Dayna Dyange amekuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mwanamitindo maarufu duniani Dax Cruz.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.