Yemi Alade akubali wimbo mpya wa Diamond

Diamond Platnumz ameachia nyimbo tatu kwa muda wa wiki mbili, nyimbo hizo ni; ‘I Miss You’, ‘Fire’ akimshirikisha Tiwa Savage na ‘Eneka’.

Kati ya hizo nyimbo tatu mpya ‘Eneka’ ndo imemfurahisha sana Yemi Alade. Mwimbaji huyo alichangamia wimbo huo kwasababu Diamond aliimba kwa lugha ya Igbo.

download latest music    

“Omg !you are singing in IGBO ?? @diamondplatnumz,” Yemi Alade aliandika kwenye video ambayo Diamond ameiweka kwenye mtandao wa Instagram

Tazama wimbo wa ‘Eneka’ hapo chini:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere