Yound killer Angeweza Kupata Pesa Kupitia Neno ‘Pambana na Hali Yako’.

Inawezekana ingekuwa faida kuwa kama msanii Young Killer angeweza kupata faida sana baada ya msemo pambana na hali yako aliowahi kuutumia katika baadhi ya nyimbo zake kuvuma na kutumiwa sana kama msemo halisi katika lugha.

Wasanii wengi nje mfano 50 Cent aliwahi kuuza moj aya maneno yake ya wimbo na kupata faida kubwa tu, huku ni kutokana na nchi aliyopo labda kwa sababu pia wanajua kuwa kuna baadhi ya vitu vidogo vidogo ndivyo vinaweza kuwapatia wasanii pesa.

download latest music    

Young Killer haonekani kuwa na mpango wa kufanya hiyo biashara kwa kuwa hata yeye anahoji kuwa ni nani atakbali kuununua msemo huo na je akinunu ana uhakika gani kama utauza, lakini pia haijawahi kufanyika kwa baishara kama hiyo nchini hivyo ni ngumu sana kwake.

sijafikiria kuuza lakini manen yetu haya haya tungeyageuza yangeweza kutupatia pesalakini hata huyo unayetaka kumuuzia ana kuwa hana uhakika kama anaweza kupata faida kutokana na neno hilo.kwamba ni kweli huo msema unaweza kuwa habari nyingine mpaka yeye akajitoa na kuwekeza ela kwako.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.