Young Dee afunguka kuhusu uhusiano wake na mama ya mtoto wao

Image: Young Dee

Young Dee ambaye anatambulika na warembo wengi amefunguka kwa mara ya kwanza kuzungumzia uhusiano wake na mamisa ambaye ni mama wa mtoto wao.

Kama inavyojulikana…Young Dee alikana kutoka kimapenzi na mrembo huyu huku akisisitiza kuwa hawakuwa wamepanga kupata mtoto Paloma. Aliendelea kwa kudai kuwa kwa sasa yuko single na uhusiano wake na mamisa umebaki kama ilivyokuwa hapo mbeleni:

download latest music    

 

“Am single and am buys, sina mahusiano, ni kitu ambacho naweza kusema kibinadamu kinatokea kama baraka tu kwa sababu hakuwahi kuwa mpenzi wangu, imebaki kama ilivyokuwa mwanzoni.”

Hata hivyo pia alizungumzia mziki wake mpya kwa kusema,

“Kikubwa imedhihirisha kuwa watu bado wanapenda muziki mzuri, watu bado wanapenda muziki wa hip hop. Kwangu mimi ni kitu ambacho kimenipa faraja na nguvu ya kuendelea kufanya kazi nzuri.”

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua