Young Dee akana kutumia madawa ya kulevya

Image: Young Dee

Msanii wa Bongo Young Dee anasemekana kuwa ameyarudia matumizi ya madawa ya kulevya baada ya MDB Kudai kuwa hii ndio sababu waliacha kufanya kazi naye.

Hata hivyo Young Dee amedai kuwa yeye hajarudia kutumia dawa za kulevya. Aliendelea kwa kusema kuwa yeye hajawai kuwa muathiriwa wa dawa za kelevya na kwa sasa anajijenga mwenyewe ilikuisaidia family yake.

download latest music    

Akizungumza kwenye interview na Bongo 5 young Dee alisema…

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua