Young Dee Akana Kuwahi Kuwa Kwenye Mahusiano na Amber Lulu

Msanii wa Bongo fleva Young Dee ameibuka na kumtolea maneno shombo aliyekuwa mpenzi wake Amber Lulu na kudai hajawahi kuwa na mahusiano naye ya kimapenzi.

Wawili hao waliingia Kwenye bifu zito siku za hivi karibuni na kurushiana maneno mazito na matusi Kwenye mitandao ya kijamii.

download latest music    

Young Dee ameibuka na kuweka wazi kuwa hajawahi kuwa Kwenye Mahusiano na Amber Lulu yaani hajawahi kuwa girlfriend wake bali alikuwa ni mtu aliyekuwa yupo kwa ajili ya kukutana naye kimwili kila muda anaotaka.

Kwenye mahojiano na Sam Misago Tv, Young Dee amefunguka haya:

Amber hajawahi kuwa girlfriend wangu alikuwa ni bootycall wale watu unawapigia sana kumi usiku tu sasa unamuitaje Ex girlfriend wangu wakati sijawahi hata kukutana naye mchana”.

NIlikuwa nakutana na Amber kipindi kile nakunywa makonyagi tu siku hizi nimeacha pombe sina sehemu za kuktana naye maaana sio level zangu”.

Amber Lulu aliweka wazi kuwa bifu lake na Young Dee lilianza mara baada ya Amber kukataa kuwa kwenye Mahusiano naye.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.