Young Dee sio Type Yangu Akitoa Prezzo Sasa Labda Anaweza Kuwa Wizkid au davido :-amber lulu.
Baada ya mwana dada Amber Lulu kuthibitisha kuwa alipigwa na young dee studio na kusema kuw aswala kubwa liliomfanya mwanaume huyo kumpiga ilikuwa ni wivu aliuonao kwa kuwa amekuwa akimuona yuko na wanaume wengine tofauti na yeye,
hata hivyo Amber Lulu anasema kuwa Young Dee sio type yake tena kwa sasa kwa sababu kama ametoka kuachana na prezoo kutoka kenya wala hafikirii kuwa na Young Dee tena labda aende mbele zaidi kwa watu kama Davido au Wizkid.
Akihojiwa na mwandishi amber lulu anasema” Alinikuta nikiwa na meneja wang studio akataka kuanza ku-make drama naona akaona wivu lakini anashindwa kujua kuwa sio type yangu young dee kwa sasa hivi kashatoka prezzo anatakiwa aje mtu mwingine kama wizkid, au davido,
Amber lulu ambae aliwahi kuwa na mahusiano ya yong dee na baada waliachana na yeye akawa na mahusiano ya mapezni na msanii kutoka kenya ambae walikuja kuachana vbaya na Amber Lulu kutangaza kuwa yuko single na hataki tena kujihusisha na maswala ya mapenzi kwa sasa.