Young Killer Aondoka Wanene Entertainment

Msanii Young killer amefunguka na kusema kuwa mkataba wake na uongozi wa Wanene Entertainment umemalizika hivyo kwa sasa hayupo tena katika uongozi huo.Young killer anasema kuwa mkataba huo ulikuwa ni wa miezi sia na kwa sababu umekwisha hawezi kuendelea nao tena.

katika ukurasa wake wa instagram, Young killer aliandika “nawashukuru sana wanenen stuido kwa kuniamini na kupiga kazi na mimi kwa mkataba wa kipindi cha miezi sita ambacho mkataba wetu umekwisha na sitaweza kuendelea nao tena.

download latest music    

Nawashukuru sana kwa kipindi chote cha miezi sita cha mkatab kwa kushirikiana pamona na kazi nzuri tulizozifanya, tulifanya kazi pamoja na lengo lilikuwa ni kuniona mimi ninafika mbali zaidi.nimepitia vitu vingi sana na changamoto nyingi na zaidi ninasema tu nimejifunza mengi , ambavyo vitabaki kama alama  na kuniongoza katika safari yangu nyingine ya muziki.

Ikumbukwe kuwa Young killer alisaini mkabata na studio hiyo mapema april mwaka huu na akiwa katika uongozi huo aliweza kutoa wimbo na msanii Khaligraph Jones.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.