Yusuph Mlela- Diamond Anatakiwa Awapige Chini Wote Zari, Wema na Mobetto

Muigizaji za wa filamu za kibongo, Yusuph Mlela ameibuka na kumshauri Diamond awapige chini wanawake wote walio Kwenye maisha yake kwa sasa akimaaanisha Zari, Hamisa na Wema.

Mlela amefunguka hayo Kwenye mahojiano aliyefanya na Global Publishers alipoenda Kwenye sherehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya Gabo siku ya jana.

download latest music    
 

Mlela alifunguka hayo alipoulizwa  anamshauri nini Diamond kuhusu maisha yake ya kimapenzi yanayoendelea kuchoreka Kwenye mitandao ya kijamii ambapo Mlela alisema angekuwa yeye Angewapiga chini wasichana wote.

Kiukweli mimi siwezi kumshauri kitu, Diamond ana maisha yake na maamuzi yake pia, kwa hiyo yeye afurahie tu maisha yake its ok, mimi siwezi kumpangia. Ningekuwa mimi nisingekuwa nao wote (Zari, Mobeto wala Wema), siyo kwamba siwapendi, kwanza sitembei na watu maarufu ninatoka na watu wa kawaida tu”.

Diamond amekuwa akitengeneza sana headlines kutokana na Mahusiano na wanawake tofauti tofauti ambapo hivi sasa amekuwa akisemekana Kurudisha majeshi kwa Zari wakati yupo na Mobetto.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.