Zamaradi Amtetea Steve Nyerere Kuhusu Michango ya Msiba

Mwanadada Zamaradi Mketema amefunguka na kuzngunmzia kwa undani swala la Steve Nyerere kutuhumiwa kula ela ya rambirambi ya msiba wa mwanadada Agness Masogange hasa baada ya kusemwa kuwa pesa zilizochangwa katika msiba huo hazijawafikia walengwa.

Zamaradi anasema kuwa wamekuwa wakimuonea tu steve nyerere kwa sababu pesa hizo ambazo ni jumla ya sh mil2.1 zote anazo yeye na kwamba wamekuwa wakimsubiri mtoto wa marehemu akae sana ili waweze kumkabithi.

download latest music    

Jamani wanamuonea tu steve wa watu mbona pesa zote za michango ninaoz mimi,kilichopo hapo ni mawasiliano na familia ya marehemu tu ili  waweze kutupa taarifa ili tuweze kumfungulia akaunti kwa ajili yake.

Lakini pia ieleweke kuwa uamuzi wa kumfungulia akaunti haukotolewa na steve bali ulitolewa na kama ti iliyokuwa ikishughulikia hiyo michango

Siku chache zilizopita, moja ya ndugu wa baba yake na Sania aliyejulikana kwa jina la sada alifunguka na kusema kuwa mpaka sasa hawajapokea mchango wowote wala hawana mawasiliano na  wakina steve wala taarifa zozote kuhusu hilo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.