Zamaradi Amtumia Ujumbe Mzito Shamsa Ford

Mtangazaji na mdau mkubwa wa Bongo movie Zamaradi amemtumia ujumbe mzito msanii wa Bongo movie Shamsa Ford katika siku yake ya kuzaliwa.

Siku ya jana ilikuwa siku ya kuzaliwa ya Shamsa Ford wasanii mbali mbali walimtumia salamu za pongezi na mmoja kati ya watu hao ni Zamaradi ambaye ni rafiki wa karibu wa Shamsa.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Zamaradi alifunguka na kuelezea mapenzi yake mazito kwa Shamsa na hata kudai wana uhusiano zaidi ya urafiki ambapo alimtaka asimuite rafiki bali ndugu.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Zamaradi aliandika;

https://www.instagram.com/p/Bl47YgNgT_n/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=6j5t59lks2z3

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.