Zamaradi Aomba Kutohusishwa na Lolote Kuhusu Kesi ya Mtoto wa Muna.

Mwanadada Zamaradi ambae alikuwa mstari wa mbele na kuhamasisha watu katikakuchangishwa pesa kwa ajili ya kumsaidia mtoto wa Muna ili kupata pesa kwa ajili ya matiabu amewaomba mashabiki na watu katika mitandao kutomhusisha na kitu chochote kinachoendelea hasa kesi iliyopoa kati ya wanafamilia ya kugombea mwili wa marehemu  Patrick.

Zamaradi ambae anasema aliguswa na ugonjwa wa mtoto akiwa kama mama na alisikia uchungu hivyo kujitolea kufanya aliloweza kulifanya lakini kwa kuwasiliana na mama wa mtoto anasema kuwa mgogoro wa kfamilia unaoendelea yeye hajui chochote hivyo anaomba watu wasimhukumu wala kumuingiza katika maswala hayo.

download latest music    

ikumbukwe kuwa kipindi mtoto wa muna anaanza kuumwa zamaradi alikuwa mtu wa kwanza kuomba wadau na mshabiki walioguswa na maumivu ya mtoto huyo kuchangia ilikumsaidia mama huyo katika mzigo mkubwa wa matibabu lakini baada ya kutokea kwa msiba na mkanganyiko baina ya wazazi wa pande mbili zamaradi amekuwa akihusishwa na kutuhumiwa kujua baadhi ya mambo kuhusu migogoro hiyo.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.