Zari Achaguliwa Kuwa Jaji Wa Mashindano Ya Ulimbwende

Zari The Bosslady amelamba shavu lingine baada ya kutangaza siku ya jana kuwa anatarajia kwenda kuwa ajaji wa mashindano ya ulimbwende nchini Uganda.

Zari amezidi kuthibitisha kuwa yeye ni mfanyabiashara na bosi kwani amekuwa akifanya kila jitihada ya kuingiza mkwanja.

download latest music    

Zari anategemewa kuwa jaji mkuu wa shindano hilo litakalofanyika rasmi tarehe kumi mwezi wa nane mwaka huu katika hoteli ya Sheraton Kampala nchini Uganda.

Kupitia mtandao wa Instagram, waandaaji wa shindano hilo wamethibitisha hilo kwa kuandika,

The Miss Uganda beauty pageant is proud to announce its first patron and judge for #Missug18 @zarithebosslady ??. Miss Uganda is a celebration of beauty with a purpose to inspire young women to succeed in life.”

We are also pleased to announce that she will also be a guest speaker at a CSR (corporate social responsibility) activity targeted to young girls organised by the #MissUgandaFoundation. The Miss Uganda pageant is happening on the 10th of August 2018”.

Zari amethibitisha habari hizo kwa kuweka posti hii Kwenye ukurasa wake wa Instagram:

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.