Zari Afunguka Kuguswa na Kifo Cha Mtoto wa Muna

Zarinah Hassan ‘Zari The Bosslady’ amefunguka na kuweka wazi uchungu alioupata baada ya Muna kufika na mtoto wake usiku wa jana.

Mtoto wa Muna na Casto Dickson Patrick,  alifariki dunia siku ya jana Nairobi nchini Kenya baada ya kuugua kwa muda mrefu.

download latest music    

Zari ambaye na yeye ni mama wa watoto watano amefunguka na kuonyesha kuimizwa na Kifo Cha mtoto huyo na kuandika maneno haya kwenye ukurasa wake wa Instagram:

 

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.