Zari Amkumbuka Agness Masogange Amefunguka Haya Kuhusu Kifo Chake

Kifo cha Video Vixen na msanii wa Bongo movie Agnes Gerald maarufu kama Masogange kimewagusa wengi hasa kwa sababu alikuwa mrembo mdogo tu.

Moja kati ya watu walioguswa na kifo hiko ni Baby mama wa Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zari The Bosslady ambaye amemlilia marehemu Agnes Masogange.

download latest music    

Zari ameandika ujumbe huo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambao ameonesha kuguswa na msiba huo ambao amekiri kuwa alikuwa anafahamiana na marehemu ingawa hawakuwa marafiki sana lakini alikuwa mtu wa kumsalimia na kumjulia hali.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.