Zari Amwaga Povu Kuhusu Suala la Umri Kwenye Mapenzi

Mfanyabiashara maarufu na mzazi mwenza wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zari The Bosslady amemwaga povu kwa watu walio na mtazamo hadi juu ya Mahusiano kati ya mwanamke mkubwa na kijana mdogo.

Zari amefunguka na kuonyeshwa kushangwa na jinsi ambavyo jamii ilivyokuwa na haraka ya kumuhukumu mwanamke mwenye umri mkubwa kutoka kimapenzi na mwanaume mdogo kuliko kiumri.

download latest music    

Zari amemwaga povu hilo kupitia ukurasa wake wa Snapchat ambapo amesema lakini anashangazwa na Utayari wa jamii kuona msichana mdogo akiwa Kwenye Mahusiano na mwanaume mkubwa kiumri tena vibabu kabisa.

Sitting here and thinking. Society is so quick to judge an older woman dating a young guy, but not a 40+ guy dating a 19 yr old. so typical! Watu na vibabu vyenu”.

Zari amewahi kuwa Kwenye uhusiano wa Kimapenzi na Diamond ambaye inasemekana kuwa amemzidi zaidi ya miaka kumi.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.