“Zari anaumia kumuona Ivan akiwa kwa hali maututi” Diamond Platnumz asema

Diamond Platnumz hivi karibuni alifunga kusema sababu ambazo hajaweza kumpost aliyekuwa mpenzi wa Zari wa zamani, Ivan Don kumtakia kupona haraka.

Akizungumza na kipindi cha Clouds FM Diamond Platnumz alisema Kuwa anaona watu watasema kuwa anatafuta kiki kwa kumuweka Ivan Don kwenye Instagram yake kwa sababu wengi hudhania kuwa wawili hao hawapatani baada ya Diamond kumchukua Zari Hassan ambaye alikuwa mke wa Ivan kabla ya wao kuachana.

download latest music    

Hata hivyo Diamond Platnumz amesema kuwa amekuwa akiwasiliana na Zari kila wakati anapoenda kumuona Ivan Don hospitalini. Aliendelea kwa kusema kuwa Zari anaumia kumuona baba ya Vijana wake akiwa kwenye hali hiyo. Lakini kwa sasa wote wanamubea ili apate nafuu nataka.

“Ni kweli mzazi wake Zari anaumwa, na yuko serious. Na kila siku huwa namuhimiza Zari akamuone mzazi mwenzie kwasababu najiuliza asingekuwa anaenda familia yangu ingemuonaje, kwa hiyo maskini dada wa watu kila siku huwa anaenda,” Diamonda alikiambia kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM. Sijawahi mpigia simu kwasababu yuko serious sana na pia sikuweza kumpost kwasababu watu waneanza kusema labda natafuta kiki maskini ya Mungu kumbe wala,

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua