Zari Asaini Dili Nono na Kampuni Ya Softcare

Mfanyabiashara maarufu na mzazi mwenza wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zari The Bosslady amesaini dili nono na kampuni ya Softcare nchini Tanzania.

Zari aliingia nchini Tanzania siku ya Jumanne na kufikia Katika hoteli ya Hyatt Regency na fununu za ujio wake zilisambaa. Zari alitangaza kuhusiana na ujio wake kupitia ukurasa wake wa Snapchat.

download latest music    

Zari amepata dili hilo la kuwa Brand ambassador (Balozi mkuu wa bidhaa) wa pampers za watoto kutoka kampuni ya Softcare huku thamani ya dili bado  haijawekwa wazi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Zari aliandika ujumbe huu kuhusiana na dili hilo alilo Saini:

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.