Zari Athibitisha Kuwa Hajarudiana na Diamond

Mzazi mwenza wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zari The Bosslady amethibitisha taarifa kuwa yeye na Diamond hawajarudiana bali wameelewana kwa ajili ya kulea watoto wao.

Tangu wiki iliyopita kulikuwa na tetesi zilizodai kuwa Diamond na  Zari wamerudiana baada ya wawili hao kuonekana pamoja nchini South Africa na watoto wao.

download latest music    

Zari amefungukia tetesi hizo na kusema yeye na Diamond hawajarudiana kuwa wapenzi bali wameamua kuelewana kwa ajili ya kulea watoto wao.

Zari amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Snapchat ambapo aliandika:

 

Tetesi za Diamond na Zari kurudiana zilianza baada ya wawili hao kukutana nchini South Africa baada ya kutoanana kwa miezi minne baada ya kuachana.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.