Zari Atoa Ruhusa ya Hamisa Kuzaa Hata Watoto Kumi.

Mwanamama Zari the Bossy amemwaga povu lake huko katika ukurasa wake wa instagram baaada ya moja ya mashabiki zake kumwambia kuwa pamoja na kwamba yeye anataka kurudiana na Diamond lakii akae akijua kuwa mwanamke mwenzie ambae ni Hamisa kwa sasa ana mimba nyingine.

Kwa kuonyesha kuwa hata yeye hajali kwa hilo, Zari aliandika na kumnibu shabiki huyo kuwa huyo hamisa hata kama anataka kuzaa watoto kumi azae.

download latest music    

Zari kuwa makini maana kuna tetesi huko mtaani kwetu kuwa Hamisa ameshanasa mimba nyingine, Lisemwali lipo kama halipo laja.

Lakini kitu cha  kushangaza zari alijibu tu kwa kifupi na kusema ‘azae tu hata watoto kumi’ 

Wikiendi iliyopita Diamond alioneka akiwa Afrika ya Kusini akiwa na watoto wake aliozaa na zari ,  hii ilithibitisha tetesi kuwa inawezekana wawili hao kwa sasa ni wapenzi.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.