Zari awaomba mashabiki wake wamuombee mume wake wa kitambo – Ivan baada ya kulazwa hospitali kutokana na ugonjwa wa stroke

Mume wa Zari Hassan wa kitambo – Ivan Ssemwanga amelazwa hospitalini nchini Afrika Kusini baada ya kuugua ugonjwa wa Kiharusi (kwa Kiingereza stroke).

Ugonjwa huwo hatari husababisha mwili kupooza kutokana na matatizo kwenye mishipa ya damu inayolisha ubongo.

download latest music    

Zari na Ivan walijaliwa kupata watoto watatu wa kiume kabla ndoa yao kusambaratika. Zari alidai kuwa Ivan alikua anamchapa na kumtesa akiwa mke wake – sababu ya yeye kumwacha.

Zari na wanawe

Ata hivyo Zari bado huzungumza na Ivan kwasababu ya watoto wao. Picha inayosambaa mitendaoni inaonyesha Zari akisimama kando ya Ivan ambaye amelazwa hospitalini.

Ivan akiwa hospitalini

Zari pia aliwaomba mashabiki wake kwenye Instagram wamuombee mume wake wa kitambo. Hakueleze zaidi kuhusu hasi ya Ivan.

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere